VICHWA MBALIMBALI

TAZAMA HAPA LIVE SEMINA YA NENO LA MUNGU JANGWANI

Semina ya neno la Mungu kupitia huduma ya Mana ministry itaanza tarehe 1 march,2015 kwa siku 8 mpaka tarehe 8 march,2015 katika viwanja vya Jangwani kuanzia saa 10:00 jioni na mnenaji ni Mwallimu Christopher Mwakasege.
Kwa wale walio nje ya Dar es salaam,au watashindwa kufika kwa namna moja au nyingine utapata nafasi ya kuona na kusikia LIVE kupitia blog hii ya Injili Tanzania lakini pia Ustream na kicheko.com


Tafadhali mualifu mwenzako

No comments:

Post a Comment

Injili ya Yesu Kristo Designed by INNJILI TANZANIA Copyright © 2013-2015

Injili Tanzania Blog. Theme images by Jason Morrow. Powered by Blogger.